Afisa wa polisi wa kike ajiua kwa kujipiga risasi JKIA
Published on: August 24, 2016 07:57 (EAT)
Afisa mmoja wa polisi amijitoa uhai baada ya kujipiga risasi katika kituo cha polisi cha uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta . Kulingana na ujumbe aliouweka kwenye mtandao wake wa kijamii wa facebook mapema leo, afisa huyo wa kike kwa jina Claudencia Wausi Muinde alionekana kutatizwa na jambo fulani ambalo hadi sasa halijafahamika. Gatete Njoroge ana taarifa hiyo kwa kina
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment