Kiongozi wa ODM aendelea na ziara yake eneo la Magharibi

Kiongozi wa ODM Raila Odinga ameendelea na ziara yake katika kaunti ya kakamega kwa siku ya pili hii leo huku mikutano yake ilichelewa kungoa nanga kufuatia mkinzano wa waratibu. hata hivyo alifanya mikutano kadhaa katika eneo bunge la shinyalu na ikolomani kama anavyotuarifu mwanahabari wetu philip murutu mbapo ajenda kuu ilionekana kukosoa utendakazi wa serikali.

Tags:

odm

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories