Mabasi Mapya Jijini

Sekta ya uchukuzi wa umma inaonekla kuimarika katika jiji la nairobi baada ya wahudumu wa matatu wa kibinafsi kuzindua mabasi mapya ambayo yana uwezo wa kubeba takriban abiria 130 na zaidi kwa wakati mmoja moja.
Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Asasha Elizabeth, hatua hiyo inalenga kupungunguza msongamano wa magari jijini na kuboresha usafiri.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories