Mgonjwa auliwa kwenye hospitali ya Mwingi
Published on: August 25, 2016 07:45 (EAT)
Polisi katika eneo la Mwingi kaunti ya Kitui wanachunguza kifo cha jamaa aliyeuawa katika hospitali ya Mwingi Level 4 baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana ndani ya wadi. Fredrick Ngandi alikuwa amefikishwa katika hospitali hiyo saa chache kabla ya kuuawa akiwa na majeraha ya risasi aliyodai alipata baada ya kutekwa nyara na watu waliodai kuwa maafisa wa uchunguzi wa jinai nyumbani kwake eneo la Majengo, mjini Kitui
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment