Mseto wa Kaunti 23/08/2016
Published on: August 23, 2016 08:22 (EAT)
Wakaazi katika kijiji cha Getaare kaunti ya Nyamira wamebaki vinywa wazi wasijue la kusema baada ya maiti ya mzee wa miaka tisini na sita kuzikwa bila jeneza kulingana na maagizo yake.mwanahabari wetu anatuarifu zaidi katika Mseto Wa Kaunti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment