Ababu asema Raila alimsaliti na kumvuruga ndani ya ODM
Published on: January 03, 2017 07:28 (EAT)
Kiongozi wa chama cha Labour, Ababu Namwamba amefichua kuwa kuondoka kwake katika chama cha ODM mwaka uliopita kulitokana na mipango ya siri iliyopangwa na viongozi waandamizi wa chama hicho akiwemo Raila Odinga.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment