Afia wa polisi atuhumiwa kuua ndani ya kituo cha Machakos

Familia moja katika kaunti ya Machakos imejawa na majonzi baada ya kumpoteza baba yao. Benson Wambua alikuwa kibarua katika kituo cha polisi cha Machakos na aliuawa katika hali ya kutatanisha.

Tags:

machakos machakos ap officer

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories