Afia wa polisi atuhumiwa kuua ndani ya kituo cha Machakos
Published on: September 15, 2017 08:47 (EAT)
Familia moja katika kaunti ya Machakos imejawa na majonzi baada ya kumpoteza baba yao. Benson Wambua alikuwa kibarua katika kituo cha polisi cha Machakos na aliuawa katika hali ya kutatanisha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment