Afisa wa polisi wa kitengo cha diplomasia afikishwa kortini
Published on: January 05, 2017 09:52 (EAT)
Polisi mmoja wa diplomasia ameshtakiwa mahakamani kwa madai ya mauaji ya mfanyibiashara wa umri wa miaka arobaini. Mwanahabari wetu Denis Otieno anatufafanulia zaidi kuhusu taarifa hii na nyinginezo kutoka mahakamani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment