Afisa wa KDF aliyeuawa Somalia azikwa
Published on: February 05, 2017 09:14 (EAT)
Serikali imeombwa kusimama imara katika vita dhidi ya magaidi wa ali shabab kule somalia. Matamshi haya yametolewa katika ibada ya mazishi ya mmoja wa maafisa wa kdf aliyeuawa wakati wa shambulizi la kigaidi lililotokea kule kulbiyow, Somalia.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment