Afisa wa KDF aliyeuawa Somalia azikwa

Serikali imeombwa kusimama imara katika vita dhidi ya magaidi wa ali shabab kule somalia. Matamshi haya yametolewa katika ibada ya mazishi ya mmoja wa maafisa wa kdf aliyeuawa wakati wa shambulizi la kigaidi lililotokea kule kulbiyow, Somalia.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories