Afisa wa polisi apatikana na mitungi ya chang’aa
Published on: December 02, 2016 08:53 (EAT)
Afisa mmoja wa wa polisi amekamatwa katika kaunti ya uasin gishu na maafisa wenzake kwa kuficha pombe aina ya changaa zaidi ya lita mia nne nyumbani kwake.bakari mwanaidi anaeleza zaidi….
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment