Afisa wa polisi apatikana na mitungi ya chang’aa

Afisa mmoja wa wa polisi amekamatwa  katika kaunti ya uasin gishu na maafisa wenzake  kwa kuficha  pombe aina ya changaa zaidi ya lita mia nne nyumbani kwake.bakari mwanaidi anaeleza  zaidi….

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories