Afisa wa polisi awapiga risasi wenzake wawili Baringo
Published on: June 22, 2017 09:08 (EAT)
Msako mkali umeanzishwa katika kaunti ya Baringo dhidi ya afisa mmoja wapolisi wa utawala aliyewaua kwa kuwapiga risasi maafisa wenzake wawili, huku mmoja akiponea na majeraha. Mwito umetolewa kwa wenyeji katika eneo hilo kuwa waangalifu kwani afisa huyo alitoroka na bunduki aina ya AK 47.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment