Afisa wa trafiki anaswa akipokea hongo
Published on: January 20, 2018 08:35 (EAT)
Afisa mmoja wa trafiki amenaswa waziwazi kwenye kamera akiitisha rushwa kutoka kwa dereva mmoja wa asili ya kiganda. Dereva huyo alilazimika kutoa hongo ya shilingi elfu moja baada ya polisi huyo kumsisitizia ampe hongo kinyume na maadili na sheria. Inspekta jenerali wa polisi amehakikisha kuwa afisa huyo atachukuliwa hatua za kinidhamu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment