Afisa wa trafiki anaswa akipokea hongo

Afisa mmoja wa trafiki amenaswa waziwazi kwenye kamera akiitisha rushwa kutoka kwa dereva mmoja wa asili ya kiganda. Dereva huyo alilazimika kutoa hongo ya shilingi elfu moja baada ya polisi huyo kumsisitizia ampe hongo kinyume na maadili na sheria. Inspekta jenerali wa polisi amehakikisha kuwa afisa huyo atachukuliwa hatua za kinidhamu.

Tags:

Bribery Traffic Police road carnage

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories