Afisa wa trafiki anaswa akipokea hongo

Afisa mmoja wa trafiki amenaswa waziwazi kwenye kamera akiitisha rushwa kutoka kwa dereva mmoja wa asili ya kiganda. Dereva huyo alilazimika kutoa hongo ya shilingi elfu moja baada ya polisi huyo kumsisitizia ampe hongo kinyume na maadili na sheria. Inspekta jenerali wa polisi amehakikisha kuwa afisa huyo atachukuliwa hatua za kinidhamu.

Tags:

Bribery Traffic Police road carnage

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories