Ajuza wa miaka 65 ambaye haoni achapa kazi

Watu wengi wamechukulia ulemavu kuwa kitega uchumi kwa kuwa omba omba mitaani  ili kujipatia mkate wa kila siku, lakini kwa mama mmoja mwenye umri wa miaka 65 ambaye ni mlemavu wa macho,  amejitwika jukumu la kijitafutia riziki yake mwenyewe kwa kushona kamba na kuwauzia wafugaji katika kaunti ya Pokot Magharibi ili kujipatia mapato ya kila siku.

Tags:

Pokot Magharibi Ulemavu wa kuona

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories