Akaunti 6 za gavana Joho zafungwa kwa siku 10
Published on: March 25, 2017 08:15 (EAT)
Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini KRA sasa imefunga akaunti zote za benki zinazomilikiwa na gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho kwa siku kumi. Aidha, kulingana na barua pepe iliotumwa katika vyombo vya habari, gavana huyo haruhusiwi kutoa au kuhamisa fedha zake kwenye akaunti sita.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment