Akaunti 6 za gavana Joho zafungwa kwa siku 10
Published on: March 25, 2017 08:15 (EAT)
Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini KRA sasa imefunga akaunti zote za benki zinazomilikiwa na gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho kwa siku kumi. Aidha, kulingana na barua pepe iliotumwa katika vyombo vya habari, gavana huyo haruhusiwi kutoa au kuhamisa fedha zake kwenye akaunti sita.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment