Al Ghurair yapewa ridhaa kuchapisha karatasi za kura ya urais
Published on: July 20, 2017 08:38 (EAT)
Tume ya uchaguzi IEBC sasa iko huru kuendelea na uchapishaji wa karatasi za uchaguzi wa urais katika kampuni ya Al Ghurair huko Dubai. Hii ni baada ya mahakama ya rufaa kutupilia mbali uamuzi wa mahakama kuu ambao ulikuwa umesimamisha shughuli hiyo kwa misingi kuwa sio lazima umma uhusishwe hasa katika ununuzi wa moja kwa moja.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment