Amani, utulivu zimerejea Majengo
Published on: October 02, 2017 08:20 (EAT)
Mtaa wa Majengo uligonga vichwa vya habari humu nchini na hata mataifa ya nje kutokana na vurumai zilizozuka mara kwa mara baina ya polisi na vijana. Hali hiyo ni tofauti kabisa sasa, huku vijana wakibuni njia mbali mbali za kujikimu na hata kuwashawishi wenzao kujiunga nao kujitafutia mkate wao wa kila siku badala ya kujiingiza katika vitendo vya uhalifu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment