Amani, utulivu zimerejea Majengo

Mtaa wa Majengo uligonga vichwa vya habari humu nchini na hata mataifa ya nje kutokana na vurumai zilizozuka mara kwa mara baina ya polisi na vijana. Hali hiyo ni tofauti kabisa sasa, huku vijana wakibuni njia mbali mbali za kujikimu na hata kuwashawishi wenzao kujiunga nao kujitafutia mkate wao wa kila siku badala ya kujiingiza katika vitendo vya uhalifu.

Tags:

Mombasa Mombasa Republican Council MRC

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories