Ambulensi za pikipiki zaingia Kajiado
Published on: September 23, 2017 08:26 (EAT)
Matatizo ya kina mama wajawazito na wale waliojifungua karibuni ni mengi mno katika kaunti ya Kajiado kwa sababu ya ukosefu wa usafiri sehemu za mashinani. Hata hivyo, daktari mmoja ambaye pia ni makazi wa eneo hilo ameanzisha mradi wa ambulensi za pikipiki ili kupunguza vifo vya wanaojifungua pamoja na watoto wao wachanga.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment