Angalau watu 4 hufa kila mwaka kwenye daraja la Sinyereri, Trans Nzoia
Published on: December 02, 2017 09:11 (EAT)
Katika kijiji Sinyereri kaunti ya Trans Nzoia kuna daraja ambalo limegeuka kuwa daraja la mauti. Kama anavyoaarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi wenyeji wanasema kila mwaka kati ya watu watatu hadi wanne huangamia kwa kusombwa na maji wakijaribu kuvuka daraja hilo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment