Ann Waiguru afika mbele ya kamati ya bunge
Published on: November 03, 2016 08:56 (EAT)
Aliyekuwa waziri wa ugatuzi anne waiguru amesema kuwa katu hakuhusika na sakata ya NYS. Waiguru ambaye alifika mbele ya kamati ya bunge ya uhasibu amesema kuwa kuna watu fulani walioungana kumhujumu akiwa waiziri wa ugatuzi kwa kudai kuwa ni yeye ndiye anapaswa kujibu maswali kuhusi kupotea kwa shilingi bilioni 1.6 katika nys. Waiguru aidha alikana kuwa hakuwa kutana na wanabiashara Ben Gethi na Josphine Kabura alipokuwa waziri.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment