Ardhi Ya Utata

Rais Uhuru kenyatta amewashtumu waziri wa ardhi Charity Ngilu na mwenyekiti wa tume ya huduma za ardhi Mohamed Swazuri kwa kutozuia unyakuzi wa ardhi ya shule ya Langata uliosababisha maandamano Jumatatu. Kulingana na Rais, wawili hao watachukuliwa hatua zifaazo. Kenyattta vile vile amemwelekezea lawama mwalimu mkuu wa shule hiyo kwa kuwaruhusu wanafunzi kuhuska katika maandamano yaliyohatarisha maisha yao. Lakini je, matamshi ya Rais yatachukuliwa kwa vitendo?

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories