Atakayependekezwa kumrithi Mutunga kujulikana Ijumaa ijayo
Published on: September 16, 2016 09:03 (EAT)
Atakayependekezwa kuwa Jaji Mkuu atajulikana Ijumaa ijayo. Makamishna wa tume ya huduma za idara ya mahakama wamejifungia huko Naivasha kwenye kikao cha faragha kuchambua sifa za watu 12 waliohojiwa ili kubaini mshindi atakayejaza nafasi ya jaji mkuu. Hata hivyo atapitia mchujo kama anavyoarifu mwanahabari wetu faiza maganga kabla ya kuidninishwa au kukataliwa na bunge.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment