Atiati yakumba shughuli ya kumuapisha kinara wa NASA Raila odinga
Published on: January 16, 2018 08:31 (EAT)
Haijulikani iwapo kinara wa nasa Raila Odinga ataapishwa ifikapo Januari 30 kama ilivyoratibiwa awali. Duru zinaarifu kuwepo kwa mgawanyiko kati ya vinara wenza katika muungano huo huku mashinikizo kutoka kwa jamii ya kimataifa yakizidi kuvuruga hesabu za muungano huo. Hapo kesho Vinara hao wanatarajiwa kuhutubia wanahabari kuzungumzia suala hilo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment