Baa la njaa lanukia
Published on: September 23, 2017 08:27 (EAT)
Huwenda Njaa kali ikalikumba taifa mwaka ujao. Hali hii inaashiriwa na kuharibika kwa mahindi mengi mashambani hata kabla hayajavunwa katika kaunti ya Uasin Gishu . John Wanyama na taarifa hiyo kamili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment