Baadhi ya dawa za kukohowa zatumika kama vileo

Imeibuka kuwa mtindo mpya wa vijana kununua dawa ya kukohoa kwa ili minajili ya kujilewesha hatimaye huenda ikapata suluhu. Hii ni baada ya bodi ya famasia na sumu kuagiza maduka yote ya kuuza dawa kutouza dawa yoyote iliyo na kemikali ya codeine bila agizo la daktari.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories