Baadhi ya wanasiasa kuzuiwa kuwania nyadhifa Agosti 8
Published on: June 03, 2017 08:05 (EAT)
Mgombea mmoja wa ugavana kaunti ya Mombasa amepigwa marufuku kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha mwezi Agosti, huku wagombea wengine 105 wakikabiliwa na tishio la kucharazwa mjelezi sawa na huo, kutokana na masuala ya maadili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment