Baba ajiua baada ya kushindwa kumudu karo ya bintiye
Published on: January 12, 2018 08:28 (EAT)
Mwanamme mmoja mtaani Githurai Ajitoa uhai kwa kukosa karo ya kupeleka mwanawe shule ya upili. Tukio hilo limewaacha majirani vinywa wazi huku zoezi la kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza likiendelea.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment