Baba akamatwa kwa kumdhulumu mwanaye, Nyahururu

Polisi huko Nyahururu wamemtia nguvuni mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 34 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi vibaya mwanaye wa kiume. Samwel Gachera anadaiwa kuwa na mazoea ya kumpiga mtoto huyo tangu walipotengana na mkewe miezi saba iliyopita.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories