Babu Owino akamatwa tena baada ya kuachiliwa kwa dhamana

Mbunge wa Embakasi Mashariki Paul Ongili maarufu babu owino amekamatwa upya muda mfupi baada ya kuachiliwa kwa dhamana na mahakama ya Milimani. Owino amekamatwa nje ya majengo ya mahakama hiyo baada ya kuachiliwa kwa dhamana kwa mashtaka ya kuidhalilisha afisi ya rais na kumtusi rais.

Makori Ongechi anatupasha zaidi…

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories