Bado kuna utata kuhusu uteuzi wa ODM

Wagombea walioshindwa katika mchujo wa chama cha odm hii leo wameendeleza vikao na bodi iliyobuniwa na chama hicho kutatua mzozo unaozunguka kushindwa kwao. Na kama anavyotuarifu mwandishi wetu stephen letoo, wabunge kama vile jakoyo midiwo huenda wakajipata pabaya katika uchaguzi mkuu ujao..

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories