Baiskeli ya magurudumu manne inayotumia nishati ya jua kuudwa na kampuni moja nchini

Kampuni moja ya nishati humu nchini imebuni baiskeli ya magurudumu manne ambayo inatumia nishati ya jua kufanya kazi. Baiskeli hiyo, maarufu kama solar e-cycle  inaweza kutumika kama nguvu za umeme na matumizi mengine ya stima majumbani na katika biashara. Ubunifu huu huenda ukaboresha sekta ya usafiri na kueneza nguvu za umeme katika maeneo yaliyo na uhaba kama anavyoarifu Asasha Elizabeth.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories