Bara la Afrika kufaidi Ksh. Trililioni tatu kutoka Japan

Bara la Africa litafaidi dola bilioni 30 au takriban shilingi trilioni 3 kama uwekezaji kutoka taifa la Japan. Mpango huu ambao unatekelezwa kwa ushirikiano baina ya serikali na sekta ya kibinafsi unalenga kuimarisha miundo mbinu, sekta ya afya na udumishaji wa usalama katika kipindi cha miaka mitatu ijayo. Haya yalitangazwa wakati wa ufunguzi rasmi wa kongomano la TICAD hapa jijini..

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories