Barabara ya mauti ya Salgaa
Published on: November 18, 2017 08:14 (EAT)
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya kuwakumbuka manusura na waathiriwa wa ajali za barabarani hapo kesho, eneo la Salgaa katika kaunti ya Nakuru linazidi kuwakosesha usingizi madereva, abiria na wenyeji kutokana na ajali za mara kwa mara katika eneo hilo. Japo takwimu zinaonesha kuwa idadi ya ajali za barabarani imepungua ikilinganishwa na mwaka jana, eneo la Salgaa limeifanya kaunti ya Nakuru kuwa ya pili katika wingi wa ajali nchini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment