Bei ya unga inatarajiwa kupanda baada ya wiki moja
Published on: January 02, 2018 07:57 (EAT)
Bei ya unga wa mahindi inatarajiwa kupanda mwishoni mwa wiki hii baada ya serikali kusitisha mpango wa unga wa bei nafuu mwishoni mwa mwaka jana. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Denis Otieno, baadhi ya Wakenya wamekashifu hatua hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment