Benki zatwaa magari ya wadeni
Published on: October 07, 2017 08:33 (EAT)
Benki za humu nchini zinaendelea na mipango ya kutwaa mali ya wateja wao hususan wale wanaoshindwa kulipa madeni ya mikopo waliochukuwa. Ni jambo ambalo kulingana na wadadisi wa kiuchumi linaashiria makali ya sheria za kudhibiti riba sawa na kudorora kwa biashara na uchumi wa taifa kwa jumla.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment