Benki zatwaa magari ya wadeni
Published on: October 07, 2017 08:33 (EAT)
Benki za humu nchini zinaendelea na mipango ya kutwaa mali ya wateja wao hususan wale wanaoshindwa kulipa madeni ya mikopo waliochukuwa. Ni jambo ambalo kulingana na wadadisi wa kiuchumi linaashiria makali ya sheria za kudhibiti riba sawa na kudorora kwa biashara na uchumi wa taifa kwa jumla.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment