Benki zatwaa magari ya wadeni

Benki za humu nchini zinaendelea na mipango ya kutwaa mali ya wateja wao hususan wale wanaoshindwa kulipa madeni ya mikopo waliochukuwa. Ni jambo ambalo kulingana na wadadisi wa kiuchumi linaashiria makali ya sheria za kudhibiti riba sawa na kudorora kwa biashara na uchumi wa taifa kwa jumla.

Tags:

bank loan defaulting

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories