Bi harusi atekwa nyara na kuokolewa

Mwanamke mmoja alitekwa nyara kaunti ya Kiambu siku moja tu kabla ya kufunga harusi huku watekaji nyara hao wakimtishia kuwa hangeiona siku aliyoingoja kwa hamu kuu. hata hivyo walimuacha huru na kutoroka na mali ya thamani kubwa. Na leo ametimiza ndoto ya kufunga ndoa.

Tags:

kiambu limuru bi harusi atekwa nyara

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories