Bilionea Bill Gates atarajiwa kuhudhuria Kongamano la AGRF
Published on: September 05, 2016 09:13 (EAT)
Sekta ya kilimo inatarajiwa kuangazwa mno wiki hii humu nchini na barani Afrika kwa jumla. Kongamano la african green revolution, almaarufu kama agrf 2016, limengoa namga leo hapa jijini Nairobi na litawelata pamoja wadau katika sekta ya kilimo, marais kutoka nchi kadhaa za afrika na vile vile wafanyibiashara mashuhuri.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment