Bodi ya NGO yatishia kutwaa leseni ya KHRC

Bodi ya baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali imetoa ilani ya kufutiliwa mbali kwa leseni ya tume ya kutetea haki za kibinadamu-KHRC. Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na bodi hiyo, KHRC inadaiwa kukiuka kanuni mbalimbali zilizowekwa, kuwa na akaunti haramu za benki na kutolipa ushuru wa shilingi milioni mia moja. Hata hivyo KHRC imetaja madai hayo kuwa ya uongo na kutishia kumshtaki mkurugenzi wa bodi hiyo Fazul Mohammed.

Tags:

KHRC fazul mohammed tume ya haki za binadamu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories