Bodi ya shule yajiuzulu kumtetea mwalimu mkuu Otula

Matatizo ya usimamizi wa shule ya kitaifa ya maseno yanazidi kuwa magumu huku bodi ya usimamizi kujiuzulu. Bodi hiyo yenye wanachama 11 inadai kuhujumiwa na maafisa katika wizara ya elimu kiasi cha wao kutoweza kutekeleza majukumu yao. Wanachama hao wanateta kuhusu kufutwa kazi kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo paul otula.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories