Bodi ya shule yajiuzulu kumtetea mwalimu mkuu Otula
Published on: April 11, 2017 07:36 (EAT)
Matatizo ya usimamizi wa shule ya kitaifa ya maseno yanazidi kuwa magumu huku bodi ya usimamizi kujiuzulu. Bodi hiyo yenye wanachama 11 inadai kuhujumiwa na maafisa katika wizara ya elimu kiasi cha wao kutoweza kutekeleza majukumu yao. Wanachama hao wanateta kuhusu kufutwa kazi kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo paul otula.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment