Bonde la ufa laongoza kwa idadi kubwa ya wapigakura
Published on: January 13, 2017 08:25 (EAT)
Takriban watu milioni kumi na sita wamesajiliwa kupiga kura kufikia sasa huku tume ya uchaguzi nchini ikipania kuwasajili watu milioni 6.1 walio na vitambulisho kuanzia Jumatatu. Eneo la bonde la ufa kufikia sasa linaongoza kwa idadi ya wapiga kura waliosajiliwa ambao ni zaidi ya milioni tatu na laki saba. Vyama vya kisiasa vinang’ang’ana kuhakikisha kupata idadi kubwa ya wanaolengwa na IEBC ili kuweza kushinda katika kinyang’anyiro cha wa Agosti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment