Bunge kubuni sheria ya kudhibiti pata-potea
Published on: November 05, 2016 09:10 (EAT)
Kukithiri kwa maeneo ya kuchezea kamari nchini sasa kumeanza kuzua wasiwasi kuhusiana na sheria zinazodhibiti michezo hiyo na athari zake katika jamii. Mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo amependekeza mswada mpya ambapo wanaocheza michezo hiyo mtandaoni hawataruhusiwa kutumia zaidi ya shilingi mia mbili. Kadhalika anapendekeza walio na chini ya miaka 25 wapigwe marufuku kushiriki. Mwanahabari wetu Faiza Maganga anatupasha zaidi kuhusu mapendekezo mengine ya mswada wa midiwo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment