Bunge la Seneti lajadili hatma ya gavana Nderitu Gachagua
Published on: September 14, 2016 09:20 (EAT)
Vikao maalumu vya bunge la Seneti kwa ajili ya kujadili hatma ya Gavana wa Nyeri, Nderitu Gachagua vimeendelea kutwa nzima huku leo ikiwa ni zamu ya gavana huyo kujitetea mbele ya maseneta na kama anavyotupasha Salim Swaleh, mwanasiasa huyo huenda akawa na kibarua kigumu kujinasua kwenye kinamasi cha kisiasa kwa sasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment