Bunge laahirisha mjadala kuhusu uteuzi wa wabunge wa EALA
Published on: May 18, 2017 09:20 (EAT)
Bunge la kitaifa limeahirisha mjadala kuhusu uteuzi wa watakaohudumu katika bunge la Africa Mashariki, ili kutoa nafasi ya majadiliano kati ya viongozi wa vyama vya kisiasa bungeni.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment