Chama cha Jubilee chapeleka kampeni Makueni
Published on: July 01, 2017 08:07 (EAT)
Chama cha Jubilee kwa siku ya pili mfululizo kimekita kambi eneo la Ukambani kusaka kura, huku Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wakidai kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka anachezewa shere na kupotoshwa na kiongozi wa chungwa Raila Odinga.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment