Chama cha mashinani chaandaa mkutano Bomet
Published on: May 06, 2017 09:43 (EAT)
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Uzalendo Wavinya Ndeti hii leo anapimana nguvu tena na naibu gavana wa kaunti ya Machakos Bernard Kiala katika marudio ya kura ya mchujo ya chama cha Wiper. Haya na mengine katika mkusanyiko ufwatao wa siasa za NASA.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment