Chama cha Wiper chasitisha mkutano wa muungano wa wananchi
Published on: January 10, 2018 08:06 (EAT)
Chama cha Wiper kimesitisha mkutano wa bunge la wananchi uliokuwa ufanyike katika kaunti za Ukambani wikendi hii. Mkutano wa baraza la chama hicho uliohudhuriwa na kinara wa wiper Kalonzo Musyoka, umetoa uamuzi huo ukitaka musyoka kuendelea kushinikiza kuwepo kwa mazungumzo na serikali kabla ya kuapishwa kwao mwishoni mwa mwezi huu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment