Chama kipya cha Jubilee chazaliwa
Published on: September 10, 2016 08:48 (EAT)
Hatimaye chama kipya cha Jubilee kimezinduliwa rasmi hii leo na Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake Wiliam Ruto katika hafla za aina yake huko Kasarani. Ingawa wengi walikusanyika kwa ajili ya kumkaribisha mwana mpya wa kisiasa ni wazi kuwa safari ya chama hicho kipya inatarajiwa kuwa na changamoto nyingi na kama anavyotupasha Salim Swaleh, zoezi la kura ya mchujo ni moja ya mambo yanayowakuna vichwa viongozi wakuu wa Jubilee
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment